Monday, September 5, 2016

WAZIRI MKUU MH MAJALIWA LEO AMEKUTANA NA KUFANYA MAZUNGUMZO NA SPIKA WA BUNGE, BWANA JOB NDUGAI



Ikiwa imesalia siku moja kabla ya mkutano wa nne wa bunge la kumi na moja kuanza hapo kesho September 6 2016 leo Waziri  Mkuu Kassim Majaliwa amekutana na Spika wa bunge Job Ndugai pamoja na viongozi wengine katika ofisi za bunge zilizopo Dodoma kwa lengo la kufanya kikao cha maridhiano ya vyama vyote.

No comments:

Post a Comment